Rais Vladimir Putin wa Russia amemtunuku Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullahil Udhma Sayyid Ali hamenei, nakala ya zamani yenye thamani kubwa ya Qur'ani Tukufu.
2015 Nov 23 , 18:36
Warsha ya kielimu kuhusu ‘Miujiza ya Kisayansi katika Qur’ani’ imefanyikanchini Misri katika Chuo Kikuu cha Tanta mkoani Gharbia.
2015 Nov 18 , 12:38
Kikao cha 12 cha wasomi wafasiri wa Qur’ani Tukufu kimeanza Jumanne hii katika mji mtakatifu wa Qum nchini Iran.
2015 Nov 18 , 12:12
Kikao cha Nne cha Kimatiafa cha 'Masomo ya Qur'ani na Kutadabari Qur'ani Tukufu Ulaya" kitafanyika Julai mwaka 2016 Manchester Uingereza.
2015 Nov 15 , 14:46
Shirika la Kimataifa la Habari za Qur'ani (IQNA) imepata zawadi ya shirika bora la habari za kidini katika Maonyesho ya 21 ya Habari na Mashirika ya Habari mjini Tehran.
2015 Nov 14 , 15:04
Vijana wanne wa Kishia nchini Saudi Arabia wamefanikiwa kuchukua nafasi za juu katika awamu ya tatu wa Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani na Hadithi yaliyofanyika katika mji mtakatifu wa Madina.
2015 Nov 10 , 11:46
Abdulswamad bin Omar Muhammad kutoka Somalia ndie mshiriki mwenye umri mdogo zaidi katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani Tukufu Saudi Arabia.
2015 Nov 09 , 18:52
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameitaja Qur'ani Tukufu kuwa ni kitabu cha nuru na uongozi na kuongeza kuwa yeye daima huanza siku yake kwa kusoma kurasa kadhaa za kitabu hicho kitakatifu.
2015 Nov 08 , 14:08
Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu Iran Ayatullah Hashemi Rafsanjani amesema kuwa Qur'ani tukufu ilikuwa chanzo cha shakhsia na mafanikio makubwa ya hayati mwanzilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Imam Khomeini MA.
2015 Nov 01 , 13:12
Aplikesheni za kusoma Qur’ani Tukufu zinaendelea kupata umashuhuri katika nchi za Kiislamu na hata nchi zisizokuwa za Kiislamu kote duniani.
2015 Nov 01 , 11:45
Mkutano wa pili la kimataifa la kutafakari katika Qur’ani umefanyika nchini Morocco. .
2015 Oct 29 , 16:20
Idara ya Qur’ani katika Wizara ya Utamaduni na Muongozo wa Kiislamu Iran imeandaa kongamano chini ya anuani ya ‘‘Qur’ani Katika Sirah na Fikra za Imam Khomeini’.
2015 Oct 29 , 15:06
Kongamano la Sita la Kimataifa la Utafiti wa Qur’ani litafanyika London, Uingereza mwezi Juni mwakani.
2015 Oct 29 , 14:13