IQNA

Ujenzi wa Kituo Kipya cha Kiislamu, na Qur’ani kwa Wanawake Chaanza Qatar

Ujenzi wa Kituo Kipya cha Kiislamu, na Qur’ani kwa Wanawake Chaanza Qatar

IQNA - Operesheni ya ujenzi wa kituo cha Kiislamu na Qur'ani kwa wanawake ilianza katika sherehe nchini Qatar.
23:37 , 2024 May 01
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu: Ghaza ndilo suala la kwanza kwa Ulimwengu

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu: Ghaza ndilo suala la kwanza kwa Ulimwengu

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Ghaza ndilo suala la kwanza kwa Ulimwengu.
18:02 , 2024 May 01
Haram ya Hadhrat Abbas (AS) yanaanza tena vikao vya kila siku vya Khatmul Qur'an

Haram ya Hadhrat Abbas (AS) yanaanza tena vikao vya kila siku vya Khatmul Qur'an

IQNA – Haram Takatifu ya Hadhrat Abbas (AS) huko Karbala, Iraq imerejesha programu yake ya kila siku ya Khatmul Qur'an.
20:59 , 2024 Apr 30
Maoni ya Waziri Mkuu wa Ufaransa yakosolewa katika Msikiti wa Paris

Maoni ya Waziri Mkuu wa Ufaransa yakosolewa katika Msikiti wa Paris

IQNA - Msikiti Mkuu wa Paris ulimkosoa waziri mkuu wa Ufaransa kwa matamshi yake ya hivi karibuni ya chuki dhidi ya Uislamu.
20:53 , 2024 Apr 30
Chuo Kikuu cha Duke kuchunguza kitendo cha chuki dhidi ya Uislamu

Chuo Kikuu cha Duke kuchunguza kitendo cha chuki dhidi ya Uislamu

IQNA – Ofisi ya Maadili ya  Chuo Kikuu cha Duke nchini Marekani imeanzisha uchunguzi kuhusu uchafuzi wa mabango kuhusu mwezi wa Ramadhani,  jambo ambalo limeibua wasiwasi wa chuki dhidi ya Uislamu ndani ya a chuo hicho.
20:36 , 2024 Apr 30
Wajumbe wa Msafara wa Qur’ani wa Hija wa Iran kuelekea Madina katikati ya Mei

Wajumbe wa Msafara wa Qur’ani wa Hija wa Iran kuelekea Madina katikati ya Mei

IQNA - Wanachama wa msafara wa Qur'ani wa Iran kwa ajili ya Hija mwaka huu wataondoka kuelekea Saudi Arabia Mei 15. Hayo yametangazwa wakati wa mkutano uliofanyika mjini Tehran siku ya Jumapili ili kuufahamisha msafara huo kuhusu misheni na shughuli zao wakati wa mahujaji wa Hija.
19:19 , 2024 Apr 29
Kocha Mfaransa asilimu Algeria akiwa amevutiwa na mapambano ya Wapalestina

Kocha Mfaransa asilimu Algeria akiwa amevutiwa na mapambano ya Wapalestina

IQNA – Patrice Beaumelle, kocha wa soka wa Ufaransa ambaye kwa sasa anaongoza timu ya Mouloudia d'Alger katika ligi kuu ya soka ya Algeria, amesilimu.
10:09 , 2024 Apr 28
Vitendo vya kusikitisha vya kuvunjia heshima Qur'ani vyaendelea Uswidi

Vitendo vya kusikitisha vya kuvunjia heshima Qur'ani vyaendelea Uswidi

IQNA - Inaonekana hakuna nia nchini Uswidi ya kukomesha vitendo vya kuvunjia heshima Qur'ani Tukufu, vitendo ambavyo vimewasikitisha na kuwakasirisha Waislamu kote ulimwenguni.  
09:37 , 2024 Apr 28
Mahaba ya Qari Mutawalli Abdul Aal wa Misri katika Kusoma Qur'ani Tukufu

Mahaba ya Qari Mutawalli Abdul Aal wa Misri katika Kusoma Qur'ani Tukufu

IQNA – Sheikh Mutawalli Abdul Aal Alikuwa qari mkubwa wa Misri ambaye alihifadhi shauku yake ya kusoma hadi siku za mwisho za uhai wake.
08:21 , 2024 Apr 28
Maelezo kuhusu ukandamizaji wa wanafunzi watetezi wa Palestina nchini Marekani

Maelezo kuhusu ukandamizaji wa wanafunzi watetezi wa Palestina nchini Marekani

IQNA-Marekani ndiyo muungaji mkono mkubwa zaidi wa utawala wa Kizayuni wa Israel ambapo serikali ya Biden imetoa msaada mkubwa zaidi wa kijeshi na silaha kwa Tel Aviv wakati wa vita vya Gaza, ambavyo vimeingia katika mwezi wake wa saba.
07:56 , 2024 Apr 28
Maua ya msimu ya machipuo yavutia watalii jijini Tehran

Maua ya msimu ya machipuo yavutia watalii jijini Tehran

IQNA - Hifadhi ya Bustani ya Iran yenye makao yake Tehran hukaribisha maelfu ya wageni mwezi Aprili na Mei kila mwaka huku maua ya Tulip yakibua mandhari ya aina yake katika bustani hiyo.
14:51 , 2024 Apr 27
Mikakati ya Qur'ani Tukufu kuhusu Nidhamu ya Kihisia

Mikakati ya Qur'ani Tukufu kuhusu Nidhamu ya Kihisia

IQNA - Ili kutusaidia kupanga hisia zetu na kuboresha nidhamu yetu ya kihisia, Qur'an Tukufu inawasilisha mikakati au stratijia zinazoweza kutumika.
14:40 , 2024 Apr 27
Msahafu wa zama za Uthmaniyya wauzwa kwa dola 144,000 katika mnada London

Msahafu wa zama za Uthmaniyya wauzwa kwa dola 144,000 katika mnada London

IQNA – Msahafu wa kipekee wa zama za Uthmaniyya umeuzwa katika katika mnada wa turathi za Kiislamu jijini London, Uingereza.
11:19 , 2024 Apr 27
Kijana wa Nigeria azawadiwa tiketi ya Hija kwa ustadi wake wa kuhifadhi Qur'ani

Kijana wa Nigeria azawadiwa tiketi ya Hija kwa ustadi wake wa kuhifadhi Qur'ani

IQNA - Bodi ya Ustawi wa Mahujaji wa Jimbo la Kano nchini Nigeria imemtunuku zawadi ya tiketi ya Hija kina Ja’afar Yusuf mwenye umri wa miaka 16 kwa sababu ya ujuzi na ustadi wake wa kuhifadhi Qur'ani.
11:09 , 2024 Apr 27
UN: Gaza inahitaji miaka 14 kutegua mabomu yaliyondondoshwa na Israel

UN: Gaza inahitaji miaka 14 kutegua mabomu yaliyondondoshwa na Israel

IQNA-Kwa muda wa karibu miezi saba sasa, utawala katili wa Israel umekuwa ukidondosha mabomu kila siku katika Ukanda wa Gaza na sasa Umoja wa Mataifa unasema zoezi la kutegua mabomu ambayo hayajalipuko eneo hilo linaweza kuchukua muda miaka 14.
11:02 , 2024 Apr 27
1