IQNA

Tamko la Mwisho la Mkutano wa 39 wa Umoja wa Kiislamu: Umoja ni Wajibu wa Kutekelezwa

IQNA – Mkutano wa 39 wa Umoja wa Kiislamu umehitimishwa Tehran, Iran kwa tamko la mwisho lililoangazia kuwa mshikamano wa Waislamu ni hitajio lisilokwepeka...

Iraq yatoa stempu ya kumbukumbu kwa Maadhimisho ya Miaka 1,500 Tangu Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW)

IQNA – Msimamizi wa haram ya Hazrat Abbas (AS) huko Karbla, Iraq ametangaza kutolewa kwa stempu maalum ya kumbukumbu kwa ajili ya kuadhimisha miaka 1,500...

Mwanazuoni wa Al-Azhar: Mtume (SAW) Ni Kielelezo Cha Milele

IQNA – Mwanazuoni mashuhuri wa Al-Azhar, Dkt. Salama Abd Al-Qawi, ameadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW) kwa kutoa wito wa kutafakari urithi...

Mtume Muhammad (SAW) Alikuwa ‘Kiumbe Mkamilifu Zaidi Aliyepambwa Kwa Sifa za Juu za Kibinadamu’

IQNA – Mwanazuoni mwandamizi wa Waislamu wa madhehebu Kishia nchini Iraq, Ayatullah Mkuu Mohammad al-Yaqoobi, ameadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad...
Habari Maalumu
Rais wa Iran alaani ugaidi wa Israel wa kuwalenga viongozi wa Hamas jijini Doha

Rais wa Iran alaani ugaidi wa Israel wa kuwalenga viongozi wa Hamas jijini Doha

IQNA-Rais Masoud Pezeshkian wa Iran ameulaani vikali utawala haramu wa Israel kwa kitendo chake 'haramu, cha kinyama na kinacholenga kuvuruga amani ya...
10 Sep 2025, 11:15
Israel yashambulia Doha kuwalenga viongozi wa Hamas

Israel yashambulia Doha kuwalenga viongozi wa Hamas

IQNA-Ndege za kivita za Israel zimetekeleza mashambulizi ya anga dhidi ya makao makuu ya harakati za upinzani za Hamas katika mji mkuu wa Qatar, Doha,...
10 Sep 2025, 11:28
Mufti Mkuu wa Kroatia afafanua amri ya Mtume (SAW) kuhusu Umoja wa Waislamu

Mufti Mkuu wa Kroatia afafanua amri ya Mtume (SAW) kuhusu Umoja wa Waislamu

IQNA – Mufti Mkuu wa Kroatia, Sheikh Aziz Hasanović, amesema kuwa Mtume Mtukufu Muhammad (rehema na amani zimshukie) ameitoa amri kwa Ummah wa Kiislamu—na...
09 Sep 2025, 14:32
Mkutano wa Kimataifa wa Wanawake Tehran Wataka Kususiwa Kikamilifu kwa Utawala wa Kizayuni

Mkutano wa Kimataifa wa Wanawake Tehran Wataka Kususiwa Kikamilifu kwa Utawala wa Kizayuni

IQNA – Washiriki wa mkutano wa kimataifa wa wanawake uliofanyika Tehran wametoa wito wa kususiwa kwa kina kwa utawala wa Kizayuni, wakilaani vita vya mauaji...
09 Sep 2025, 14:38
Wanasayansi kutoka India, Uturuki na Iran watunukiwa Tuzo ya Mustafa (SAW) ya Mwaka 2025

Wanasayansi kutoka India, Uturuki na Iran watunukiwa Tuzo ya Mustafa (SAW) ya Mwaka 2025

IQNA – Wanasayansi watatu mashuhuri ambao ni Mohammad K. Nazeeruddin kutoka India, Mehmet Toner kutoka Uturuki, na Vahab Mirrokni kutoka Iran wametangazwa...
09 Sep 2025, 14:00
UNRWA: Njaa ya Gaza Iliyosababishwa na binadamu yaweza kusitishwa kwa azma ya kisiasa

UNRWA: Njaa ya Gaza Iliyosababishwa na binadamu yaweza kusitishwa kwa azma ya kisiasa

IQNA – Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetaja baa la njaa linaloikumba Ukanda wa Gaza kuwa ni janga lililosababishwa...
09 Sep 2025, 14:26
Mtaalamu wa Qur’ani apendekeza kuanzishwa kwa Muungano wa Kimataifa wa Kutetea Haki za Umma wa Kiislamu

Mtaalamu wa Qur’ani apendekeza kuanzishwa kwa Muungano wa Kimataifa wa Kutetea Haki za Umma wa Kiislamu

IQNA – Mtaalamu mstaafu wa Qur’ani kutoka Iran amependekeza kuundwa kwa muungano wa kimataifa wa wanazuoni wa Qur’ani ili kutetea kisheria haki za Umma...
09 Sep 2025, 13:43
Rais wa Iran atoa wito wa Umoja wa Kiislamu kukabiliana na mauaji ya Waislamu

Rais wa Iran atoa wito wa Umoja wa Kiislamu kukabiliana na mauaji ya Waislamu

IQNA – Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, ametoa wito kwa mataifa ya Kiislamu kuondoa migawanyiko ya ndani na kusimama kwa umoja, akisema kuwa mshikamano...
08 Sep 2025, 16:14
Ayatullah Makarem Shirazi: Ulimwengu wa Kiislamu unahitaji umoja zaidi ya wakati wowote ule

Ayatullah Makarem Shirazi: Ulimwengu wa Kiislamu unahitaji umoja zaidi ya wakati wowote ule

IQNA-Chanzo cha kuigwa kutoka Iran, Ayatullah Mkuu Nasser Makarem Shirazi, amesisitiza haja ya ulimwengu wa Kiislamu kurejea katika kanuni ya msingi ya...
08 Sep 2025, 15:20
Watangazaji wa Kipindi cha Mahfel washiriki maadhimisho ya Milad-un-Nabi Nchini Pakistan

Watangazaji wa Kipindi cha Mahfel washiriki maadhimisho ya Milad-un-Nabi Nchini Pakistan

IQNA – Wenyeji kadhaa wa kipindi maarufu cha Mahfel kutoka Iran walialikwa kushiriki katika maadhimisho makubwa na ya muhimu zaidi ya kila mwaka ya kukumbuka...
08 Sep 2025, 15:10
Qari wa Misri aibuka mshindi katika Mashindano ya Qur'ani ya Mataifa ya BRICS nchini Brazil

Qari wa Misri aibuka mshindi katika Mashindano ya Qur'ani ya Mataifa ya BRICS nchini Brazil

IQNA – Mwakilishi wa Misri ameibuka mshindi wa kwanza katika mashindano ya kimataifa ya usomaji wa Qur'ani ya mataifa ya BRICS yaliyofanyika nchini Brazil.
08 Sep 2025, 14:56
Afisa wa Al-Azhar: Kusaidia Vituo vya Kuhifadhi Qur'ani ni wajibu wa kidini na kijamii

Afisa wa Al-Azhar: Kusaidia Vituo vya Kuhifadhi Qur'ani ni wajibu wa kidini na kijamii

IQNA – Naibu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri ameeleza kuwa kusaidia vituo vya kuhifadhi Qur'ani ni wajibu wa kidini na kijamii.
08 Sep 2025, 14:48
Tuzo ya Sira ya Mtume yazinduliwa Algeria kwa heshima ya Maulidi ya Mtume Muhammad (SAW)

Tuzo ya Sira ya Mtume yazinduliwa Algeria kwa heshima ya Maulidi ya Mtume Muhammad (SAW)

IQNA-Wizara ya Mambo ya Dini na Wakfu nchini Algeria imetangaza kuanzishwa kwa mashindano ya kimataifa kuhusu Sira au mfumo wa maisha ya Mtume Muhammad...
07 Sep 2025, 15:22
Mpango wa kubadilisha nakala za zilizochakaa za Qur'ani kwa mpya bila malipo nchini Malaysia

Mpango wa kubadilisha nakala za zilizochakaa za Qur'ani kwa mpya bila malipo nchini Malaysia

IQNA- Waislamu wa jimbo la Kedah nchini Malaysia wamepata fursa adhimu ya kubadilisha nakala zao za Qur'anI zilizochakaa au kuharibika kwa nakala mpya...
07 Sep 2025, 15:13
Ujumbe wa Kimataifa wa Mtume Muhammad (SAW) Kujadiliwa Katika Mjadala wa Kimataifa Septemba 9

Ujumbe wa Kimataifa wa Mtume Muhammad (SAW) Kujadiliwa Katika Mjadala wa Kimataifa Septemba 9

IQNA-Imetangazwa kuwa Jumanne hii, tarehe 9 Septemba 2025, kutafanyika mjadala wa kimataifa kwa njia ya mtandao kwa jina “Karne 15 za Kumfuata Mjumbe wa...
07 Sep 2025, 15:05
Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Yamalizika Samarra, Iraq

Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Yamalizika Samarra, Iraq

IQNA-Mashindano ya 15 ya kitaifa ya kuhifadhi na kusoma Qur'anI kwa “Wachamungu wa Qur'an wa Iraq” yamehitimishwa kwa heshima kubwa katika Msikiti Mtukufu...
07 Sep 2025, 14:45
Picha‎ - Filamu‎