IQNA

Wasomi wa Kimataifa wakusanyika New Delhi kwa Kongamano la Kimataifa la Qur’ani na Sayansi

IQNA – Chuo Kikuu cha Jamia Millia Islamia (JMI) mjini New Delhi, India, kilizindua rasmi kongamano kubwa la kimataifa la siku tatu siku ya Jumatano, likiwakusanya...

Msiba Wafungua Njia Mpya: Baada ya Ajali Mbaya, Mwalimu wa Qur'ani ya Braille Aibuka

IQNA – Mlipuko mkubwa wa fataki uliomkumba Eiman Najwan Anwar Fuad ulimnyang’anya uwezo wa kuona na kuharibu mikono yake akiwa na umri wa miaka 22.

Nakala za Qur'ani za Nukta Nundu (Braille) zasambazwa katika Maonesho ya Vitabu ya Cairo

IQNA – Nakala za Qur'ani zilizoandikwa kwa mfumo wa nukta nundu (Braille) zinasambazwa kwa wageni wanaotembelea Maonesho ya 57 ya Kimataifa ya Vitabu...

Washiriki wa Vikao vya Qur’ani Kosovo Waenziwa

IQNA – Hafla maalumu ilifanyika katika Msikiti wa Barduşit mjini Pristina, mji mkuu wa Kosovo, kwa lengo la kuwaenzi wanafunzi 80 wa kike wa Qur’ani walioshiriki...
Habari Maalumu
Dar al-Ifta ya Misri: Tafsiri ya Qur’ani kwa kutumia Akili Mnemba (AI) haijuzu

Dar al-Ifta ya Misri: Tafsiri ya Qur’ani kwa kutumia Akili Mnemba (AI) haijuzu

IQNA – Mamlaka ya Fatwa ya Misri (Dar al‑Ifta) imetangaza kwamba matumizi ya programu za akili mnemba (AI), ikiwemo ChatGPT, katika kufasiri Qur’ani Tukufu...
28 Jan 2026, 11:11
Ongezeko kubwa la ujenzi wa Misikiti Kazakhstan

Ongezeko kubwa la ujenzi wa Misikiti Kazakhstan

IQNA – Idadi ya misikiti mipya inayofunguliwa nchini Kazakhstan imekuwa ikiongezeka kwa kasi katika miaka ya karibuni, ishara ya mwamko wa Kiislamu unaoendelea...
28 Jan 2026, 11:01
Ayatullah Isa Qassim: Mamilioni wanamuunga mkono Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu

Ayatullah Isa Qassim: Mamilioni wanamuunga mkono Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu

IQNA-Kiongozi mkuu wa Kishia nchini Bahrain amesema katika hotuba kwamba mamilioni ya Wairani wanasimama kidete kulinda uhuru na usalama wa nchi yao kupitia...
28 Jan 2026, 10:54
Maadui walilenga kuigeuza Iran kuwa Syria au Libya nyingine
Rais wa Iran katika mazungumzo na Bin Salman wa Saudia

Maadui walilenga kuigeuza Iran kuwa Syria au Libya nyingine

IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian amesema kuwa katika ghasia za hivi karibuni, maadui, yaani Marekani na utawala wa Kizayuni...
28 Jan 2026, 08:55
Mwanaharakati wa Iran atoa wito wa kuundwa Jumuiya ya Kimataifa ya Maqari wa Qur’ani

Mwanaharakati wa Iran atoa wito wa kuundwa Jumuiya ya Kimataifa ya Maqari wa Qur’ani

IQNA – Akilaani matukio ya hivi karibuni ya kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu, mwanaharakati wa Qur’ani kutoka Iran ametoa wito wa kuundwa kwa Jumuiya ya...
27 Jan 2026, 14:15
Wang Yi: China iko tayari kushirikiana na nchi za Kiislamu kulinda haki

Wang Yi: China iko tayari kushirikiana na nchi za Kiislamu kulinda haki

IQNA – Waziri wa Mambo ya Nje wa China, Wang Yi, amefanya mazungumzo na Hissein Brahim Taha, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC), mjini...
27 Jan 2026, 14:41
Mashindano ya Qur’ani kwa wasichana yafanyika Hajjah, Yemen

Mashindano ya Qur’ani kwa wasichana yafanyika Hajjah, Yemen

IQNA-Mashindano ya Qur’ani kwa wasichana yamefanyika katika mkoa wa Hajjah nchini Yemen, yakionyesha juhudi za kuimarisha elimu ya Qur’ani miongoni mwa...
27 Jan 2026, 14:00
Lebanon Kuandaa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ‘Al‑Sadiq Al‑Amin’

Lebanon Kuandaa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ‘Al‑Sadiq Al‑Amin’

IQNA-Lebanon inajiandaa kuwa mwenyeji wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani yanayojulikana kama “Al‑Sadiq Al‑Amin,” yatakayofanyika Beirut katika siku...
27 Jan 2026, 13:50
Hizbullah yasema haitakaa kimya mbele ya uchokozi wowote dhidi ya Iran

Hizbullah yasema haitakaa kimya mbele ya uchokozi wowote dhidi ya Iran

IQNA-Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa: "Imam Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya...
27 Jan 2026, 11:53
Waziri wa Awqaf Algeria awakabidhi wanazuoni wa Afrika nakala ya Qur'ani ya kihistoria

Waziri wa Awqaf Algeria awakabidhi wanazuoni wa Afrika nakala ya Qur'ani ya kihistoria

IQNA – Waziri wa Mambo ya Dini na Awqaf wa Algeria amewakabidhi wanazuoni wa Afrika nakala ya kihistoria ya Qur'ani Tukufu ijulikanayo kama “Rhodosi”,...
26 Jan 2026, 16:30
Nakala 114 adimu za Qurani katika maonyesho Istanbul

Nakala 114 adimu za Qurani katika maonyesho Istanbul

IQNA – Nakala 114 adimu za Qur'ani Tukufu kutoka nchi 44 zimewekwa katika maonyesho maalumu yanayofanyika mjini Istanbul, Uturuki.
26 Jan 2026, 16:19
"Ensaiklopidia ya Usomaji wa Qur’ani”, hatua muhimu ya kuingiza mfumo wa kidijitali katika Sayansi za Qur’ani

"Ensaiklopidia ya Usomaji wa Qur’ani”, hatua muhimu ya kuingiza mfumo wa kidijitali katika Sayansi za Qur’ani

IQNA – Ensaiklopidia Maalumu ya Usomaji wa Qur’ani na Sayansi Zake imezinduliwa na Qatar kama kazi mpya inayolinda uhalisia wa kielimu huku ikileta urithi...
26 Jan 2026, 15:49
Jumuiya ya Watumishi wa Qur’ani: Taifa la Iran lilimewavunja moyo maadui

Jumuiya ya Watumishi wa Qur’ani: Taifa la Iran lilimewavunja moyo maadui

IQNA – Jumuiya ya Watumishi wa Qur’ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani machafuko ya hivi karibuni yaliyoungwa mkono na tawala zakigeni,...
26 Jan 2026, 16:01
Harakati ya Kiislamu Iraq yasisitiza utayari wa kuiunga mkono Iran vitani

Harakati ya Kiislamu Iraq yasisitiza utayari wa kuiunga mkono Iran vitani

IQNA-Harakati ya Kata’ib Hizbullah ya Iraq (Brigedi za Hizbullah) imetangaza kuwa iko tayari kushiriki katika vita vyovyote vitakavyotokea ili kuilinda...
26 Jan 2026, 16:38
Taarifa ya Mwisho ya Mkutano wa Umoja wa Ummah wa Kiislamu kwa Ajili ya Palestina

Taarifa ya Mwisho ya Mkutano wa Umoja wa Ummah wa Kiislamu kwa Ajili ya Palestina

IQNA – Mkutano wa Kwanza wa Umoja wa Ummah wa Kiislamu kwa Ajili ya Palestina uliofanyika Kuala Lumpur, Malaysia, umekamilisha shughuli zake kwa kutoa...
25 Jan 2026, 10:01
Tamasha la 18 la Chemchemi ya Shahada lafanyika Karbala

Tamasha la 18 la Chemchemi ya Shahada lafanyika Karbala

IQNA-Tamasha la kimataifa la Chemchemi ya Shahada limefanyika kwa mara ya 18 katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq mapema wiki hii. Uzinduzi wa tamasha...
25 Jan 2026, 10:52
Picha‎ - Filamu‎