Habari Maalumu
IQNA – Waziri wa Elimu wa Misri amesisitiza umuhimu wa kujenga uhusiano imara kati ya wanafunzi na Qur’ani tangu miaka ya mwanzo ya elimu.
18 Aug 2026, 16:25
IQNA – Paul Pogba, nyota wa soka wa Ufaransa, ameonyesha mshikamano na Wapalestina wa Ukanda wa Gaza, wanaokabiliwa na mauaj ya kimbari ya Israel, kwa...
18 Aug 2026, 16:13
IQNA – Siku ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur’ani itaadhimishwa baadaye mwezi huu chini ya usimamizi wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri.
18 Aug 2026, 16:09
IQNA – Afisa mmoja wa ngazi ya juu nchini Malaysia amesema kuwa programu ya kuhifadhi Qur’ani katika shule za chekechea chini ya Idara ya Maendeleo ya...
18 Aug 2026, 15:54
IQNA – Wageni wanaozuru mji mtukufu wa Makkah wamealikwa kutembelea maonyesho yanayoangazia huduma na uangalizi unaotolewa katika Msikiti Mtukufu wa Makkah...
18 Aug 2026, 15:45
IQNA – Mashindano ya Qur'ani ya kila mwaka ya “Al-Rasoul Al-Aazam” (Mtume Mtukufu SAW) yamefunguliwa katika mji mkuu wa Yemen, Sana’a, siku ya Jumapili...
17 Aug 2026, 18:23
IQNA – Shirika la Kitaifa la Vyombo vya Habari la Misri limetangaza kuzinduliwa kwa kipindi kipya chenye kichwa cha habari “Imam Mkuu”, kilichotengwa mahususi...
17 Aug 2026, 18:18
IQNA – Zaidi ya watu 10,000 wametembelea Kituo cha Uchapishaji wa Qur’an Tukufu cha Mfalme Fahd kilichopo Madina wiki iliyopita.
17 Aug 2026, 18:24
IQNA – Wizara ya Awqaf na Masuala ya Kidini ya Palestina imetangaza kuwa Mashindano ya 25 ya Kuhifadhi na Tafsiri ya Qur’an ya Al-Aqsa yatafanyika kwa...
17 Aug 2026, 18:11
IQNA – Maafisa wa Maonyesho ya 11 ya Kimataifa ya Vitabu ya Istanbul wametangaza kuanzishwa kwa “Baraza la Kimataifa la Qur’an” (World Quran Assembly)...
17 Aug 2026, 18:03
IQNA – Mwanazuoni wa Kiislamu kutoka Iran ametoa wito wa kuitumia Akili Mnemba (Artificial Intelligence - AI) siyo kama nyenzo ya kusaidia pekee, bali...
16 Aug 2026, 17:01
IQNA – Washindi na washiriki katika mashindano ya 46 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Mfalme Abdulaziz, yaliyofikia tamati Makka mapema wiki hii, wametunukiwa...
16 Aug 2026, 16:55
IQNA – Mtandao wa Mazungumzo ya Kiislamu nchini Norway ulishiriki katika “Arendalsuka,” ambayo ni jukwaa la kila mwaka la mijadala ya umma nchini Norway....
16 Aug 2026, 16:49
IQNA – Kambi inayojumuisha mashindano matatu ya usomaji wa Qur’ani (Tilawa), warsha za ufundishaji, na hafla maalum ya watoto imepangwa kufanyika huko...
16 Aug 2026, 16:33
IQNA – Katikati ya ukame usio wa kawaida na uhaba mkali wa maji unaotishia sekta ya kilimo na mazingira, wanazuoni wa Kiislamu nchini Uingereza wametoa...
16 Aug 2026, 16:28
IQNA – Wananchi katika mkoa wa Marib nchini Yemen wamefanya maandamano na matukio ya kulaani vitendo vya kuvunjiwa heshima Qur’ani katika nchi za Magharibi.
15 Aug 2026, 21:05