Habari Maalumu
Uislamu ni chaguo langu
KANO (IQNA) - Mwanamke wa Bulgaria mwenye umri wa miaka 62, Liliana Mohammed, amefikia ndoto yake ya kujifunza Qur'ani Tukufu katika jimbo la Kano, kaskazini...
06 Dec 2023, 16:07
Njia ya Ustawi / 3
TEHRAN (IQNA) – Qur’ani Tukufu imetambulishwa kama kitabu cha mwongozo, nuru, uponyaji, rehema, ukumbusho, na utambuzi na ambacho kinatoa mpango sahihi...
05 Dec 2023, 19:07
Zifahamu Dhambi/ 4
TEHRAN (IQNA) – Katika lugha ya Qur'ani Tukufu na Mtukufu Mtume Muhammad (SAW), kuna maneno mbalimbali yanayotumika kutaja madhambi.
05 Dec 2023, 21:11
Jinai za Israel
BEIT LAHM (IQNA)- Kanisa moja la Palestina limeamua kuweka kunyesha magofu ya nyumba zilizobomolewa badala ya Mti wa Krismasi kama ilivyo ad ana kusema...
05 Dec 2023, 17:05
Uislamu na Mazingira
DUBAU (IQNA) – Sheikhe Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri amesema kuna aya nyingi katika Qur'ani Tukufu zinazowaalika watu kuheshimu mazingira.
05 Dec 2023, 21:26
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Huku vita vya maangamizi ya kimbari vya utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Gaza vikiendelea, maafisa wa Palestina wanasema ndege za kivita...
05 Dec 2023, 16:44
Diplomasia
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, uwezo mkubwa wa kisiasa na kiuchumi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Cuba...
04 Dec 2023, 18:55
Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu /31
TEHRAN (IQNA) – Tafsiri ya kwanza ya kitaaluma ya Kurani Tukufu katika lugha ya Kibulgaria ilitolewa na Tsvetan Teophanov, maprofesa wa Chuo Kikuu cha...
04 Dec 2023, 18:50
Njia ya Ustawi/4
TEHRAN (IQNA) – Ta’lim (elimu) na Tarbiyah (malezi ya maendeleo ya tabia na mafunzo katika nyanja tofauti) ni malengo mawili ya Mitume wa Mwenyezi Mungu.
04 Dec 2023, 18:41
Jinai za Israel
CAIRO (IQNA)- Sheikh Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar cha Misri amesema kuwa wakati umefika sasa wa kusitishwa jinai za utawala gaidi wa Israel...
04 Dec 2023, 13:14
Kadhia ya Palestina
KUALA LUMPUR (IQNA) – Hujjatul Islam Seyed Abdul Fattah Navab, mwakilishi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Masuala ya Hija na Hija, na Mkuu...
04 Dec 2023, 13:05
Mashindano ya Qur'ani
MUSCAT (IQNA) - Washindi wa toleo la 31 la Mashindano ya Qur'ani Tukufu ya Sultan Qaboos nchini Oman walitambulishwa na kamati ya maandalizi.
04 Dec 2023, 12:54
Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu/33
TEHRAN (IQNA) – Kitabu cha “Nakala za Qur'ani (Misahafu) za Bani Umayya: Muhtasari wa Kwanza” cha mwanazuoni mashuhuri wa Kifaransa Francois Deroche ni...
03 Dec 2023, 20:54
Jinai za Israel
WASHINGTON, DC (IQNA) - Viongozi wa Kiislamu kutoka majimbo kadhaa ya yanayoamua matokeo ya uchaguzi Marekani, yaani Swing States, wametangaza kuondoa...
03 Dec 2023, 20:41
Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA) - Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema watu wa Palestina wataibuka katika vita dhidi ya Gaza wakiwa na nguvu zaidi...
03 Dec 2023, 20:28
Wasomi Waislamu
TEHRAN (IQNA) – Jumamosi iliadhimisha kumbukumbu ya kifo cha Ibn al-Jazari, qari mashuhuri katika karne ya 14 na 15 Miladia ambaye pia alikuwa mwanachuoni...
03 Dec 2023, 20:17