IQNA

Hizbullah yatangaza mpango wa Maadhimisho ya Kumbukumbu ya Mashahidi Nasrallah na Safieddine

IQNA – Harakati ya Muqawama au Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah imetangaza ratiba ya shughuli za kuadhimisha kumbukumbu ya kuuawa shahidi kwa...

Mwanasiasa wa Iraq: Sira ya Mtume(SAW) Ni Ramani ya Umoja

IQNA – Sheikh Maan bin Ali al-Jarba, Mwenyekiti wa Umoja wa Makabila ya Waarabu wa Iraq, amesema kuwa Sira ya Mtume Muhammad (SAW) inatoa mafunzo muhimu...

Usajili wazi kwa Tuzo ya 28 ya Qur’ani na Sunna Sharjah, UAE

IQNA – Maandalizi ya toleo la 28 la Tuzo ya Qur’ani na Sunna ya Sharjah (1447H / 2025) yameanza rasmi katika mji wa Sharjah, Umoja wa Falme za Kiarabu...

Utafiti wabaini Waislamu wawili kati ya watatu Ufaransa wameripoti kukumbwa na ubaguzi wa rangi

IQNA – Waislamu wawili kati ya watatu nchini Ufaransa wanasema wamekumbwa na tabia za kibaguzi, kwa mujibu wa utafiti mpya unaoangazia ubaguzi mpana katika...
Habari Maalumu
Msomi wa Kiiraqi asisitiza umuhimu wa Umoja wa Kiislamu kama dhamira ya dharura

Msomi wa Kiiraqi asisitiza umuhimu wa Umoja wa Kiislamu kama dhamira ya dharura

IQNA – Mwenyekiti wa Baraza la Wasomi wa Rabat Muhammadi nchini Iraq amesema kuwa umoja wa Kiislamu sasa ni jambo la lazima kutokana na changamoto nzito...
17 Sep 2025, 20:48
Usomaji wa Qur’an wa mwana wa afisa wa Hamas aliyeuawa shahidi (+Video)

Usomaji wa Qur’an wa mwana wa afisa wa Hamas aliyeuawa shahidi (+Video)

IQNA – Video ya Tarteel ya Qur’an iliyosomwa na shahidi Hammam al-Hayya, mwana wa mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Hamas, Khalil al-Hayya, ambaye aliuawa shahidi...
16 Sep 2025, 21:58
Ujumbe wa Al-Azhar kuhudhuria mkutano wa vongozi wa dini duniani nchini Kazakhstan

Ujumbe wa Al-Azhar kuhudhuria mkutano wa vongozi wa dini duniani nchini Kazakhstan

IQNA – Ujumbe wa ngazi ya juu kutoka Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri utashiriki katika ufunguzi wa Mkutano wa 8 wa Viongozi wa Dini za Dunia...
16 Sep 2025, 21:49
Sheikh Zakzaky: Mwamko dhidi ya Unyama wa Israel Gaza umeimarika hata katika nchi za Magharibi

Sheikh Zakzaky: Mwamko dhidi ya Unyama wa Israel Gaza umeimarika hata katika nchi za Magharibi

IQNA – Kiongozi wa Harakati za Kiislamu nchini Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky, amesema kumeshuhudiwa ongezeko la mwamko na uungaji mkono kwa Wapalestina...
16 Sep 2025, 21:41
Sheikh Taruti: Washiriki wote wa ‘Dawlat al-Tilawa’ nchini Misri ni washindi kupitia Tajiriba

Sheikh Taruti: Washiriki wote wa ‘Dawlat al-Tilawa’ nchini Misri ni washindi kupitia Tajiriba

IQNA – Sheikh Abdel Fattah Taruti, qari mashuhuri wa Misri na mjumbe wa majopo ya majaji wa mashindano ya Qur’ani ya “Dawlat al-Tilawa”, amesema kwamba...
16 Sep 2025, 21:28
Viongozi wa Kiarabu na Kiislamu walaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Doha, watoa wito wa hatua za haraka
Taarifa ya Kikao cha Doha

Viongozi wa Kiarabu na Kiislamu walaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Doha, watoa wito wa hatua za haraka

IQNA – Viongozi wa nchi za Kiarabu na Kiislamu wamelaani vikali mashambulizi ya anga yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya mji mkuu wa...
16 Sep 2025, 12:06
Rais wa Iran aonya kuhusu uchokozi wa Israel dhidi ya nchi za Kiislamu
Katika Kikao Nchi za Kiislamu Doha

Rais wa Iran aonya kuhusu uchokozi wa Israel dhidi ya nchi za Kiislamu

IQNA-Katika kilele cha dharura cha nchi za Kiarabu na Kiislamu kilichofanyika jijini Doha, Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, alitoa onyo kali kuhusu mashambulizi...
15 Sep 2025, 22:46
Hazina ya Hati za Timbuktu: Urithi Uliookolewa Kutoka Makucha ya Wakoloni wa Kifaransa Barani Afrika

Hazina ya Hati za Timbuktu: Urithi Uliookolewa Kutoka Makucha ya Wakoloni wa Kifaransa Barani Afrika

IQNA – Maelfu ya hati kutoka kwa mamia ya waandishi kuhusu elimu ya Qur’ani, hisabati, unajimu, na nyota zinapatikana katika hazina ya Timbuktu, ambayo...
15 Sep 2025, 18:35
Mji Mkuu wa Yemen wenyeji mkutano wa kimataifa wa “Mtume Mkuu (SAW)”

Mji Mkuu wa Yemen wenyeji mkutano wa kimataifa wa “Mtume Mkuu (SAW)”

IQNA – Toleo la tatu la Mkutano wa Kimataifa wa “Mtume Mkuu (SAW)” ulianza Jumamosi katika mji mkuu wa Yemen, Sana’a.
15 Sep 2025, 18:23
Msomi: Kuporomoka kwa elimu na mgawanyiko viliwezesha sera za ukoloni Katika Ulimwengu wa Kiislamu

Msomi: Kuporomoka kwa elimu na mgawanyiko viliwezesha sera za ukoloni Katika Ulimwengu wa Kiislamu

IQNA – Hujjatul-Islam Ali Abbasi, mjumbe wa Baraza la Wanazuoni Wataalamu nchini Iran, amesema kuwa madola ya kikoloni ya Magharibi yaliendeleza sera...
15 Sep 2025, 18:14
Wanawake Waislamu wa Belarus wazindua daftari maridadi la Aya za Qur'an za Mafunzo ya Kila Siku

Wanawake Waislamu wa Belarus wazindua daftari maridadi la Aya za Qur'an za Mafunzo ya Kila Siku

IQNA – Kundi la wanawake Waislamu wanaojihusisha na harakati za kidini nchini Belarus limezindua mradi wa kipekee wa kueneza ujumbe wa Qur'an uitwao “Katika...
15 Sep 2025, 18:04
Rais wa Iran awasihi Waislamu kukata uhusiano wowote na Israel

Rais wa Iran awasihi Waislamu kukata uhusiano wowote na Israel

IQNA – Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amezitaka nchi za Kiislamu kukata kabisa uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel, kabla ya mkutano wa dharura...
15 Sep 2025, 12:58
Umoja wa Kiislamu ni msingi wa kujenga ustaarabu mpya wa Kiislamu

Umoja wa Kiislamu ni msingi wa kujenga ustaarabu mpya wa Kiislamu

IQNA – Katibu wa Baraza Kuu la Mapinduzi ya Kiutamaduni la Iran amesema kuwa umoja wa Waislamu ni muhimu si tu kwa ajili ya kujilinda, bali pia kwa ajili...
14 Sep 2025, 14:40
Uongozi wa Mtume Muhammad (SAW) Ulijaa Rehema na Umoja
Mawaidha

Uongozi wa Mtume Muhammad (SAW) Ulijaa Rehema na Umoja

IQNA – Msomo mmoja wa Kiislamu kutoka Iran amesisitiza kuwa mfano wa Mtume Muhammad (SAW) katika uvumilivu, msamaha na uongozi wa kuunganisha jamii ni...
14 Sep 2025, 14:15
Misikiti ya Uskochi yakabiliwa na hatari za hujuma za kigaidi, yaimarisha usalama

Misikiti ya Uskochi yakabiliwa na hatari za hujuma za kigaidi, yaimarisha usalama

IQNA – Misikiti kote Uskochi au Scotland nchini Uingereza imeongeza kwa kiwango kikubwa hatua za kiusalama, ikiwemo kuajiri walinzi binafsi na kuweka ulinzi...
14 Sep 2025, 13:35
Mtoto wa Kipalestina ahifadhi Qur’ani Tukufu kikamilifu kukiwa na Vita vya Mauaji ya Kimbari Gaza

Mtoto wa Kipalestina ahifadhi Qur’ani Tukufu kikamilifu kukiwa na Vita vya Mauaji ya Kimbari Gaza

IQNA – Al-Baraa ni mtoto wa Kipalestina mwenye umri wa miaka 12 ambaye, licha ya vita na mashambulizi ya mabomu ya utawala katili wa Israel dhidi katika...
14 Sep 2025, 13:21
Picha‎ - Filamu‎