IQNA

Maafisa wasema Iraq iko tayari kwa matembezi ya Arbaeen

Maafisa wasema Iraq iko tayari kwa matembezi ya Arbaeen

IQNA – Mamlaka za Iraq zimezindua maandalizi makubwa ya huduma na usalama, huku mamilioni ya wafanyaziara wakitarajiwa kuelekea Karbala kwa ajili ya matembezi ya Arbaeen.
19:26 , 2025 Aug 04
Ofisi ya Ayatullah Sistani yapiga marfuku matumizi ya picha yake katika maeneo ya Umma

Ofisi ya Ayatullah Sistani yapiga marfuku matumizi ya picha yake katika maeneo ya Umma

IQNA – Ofisi ya kiongozi mkuu wa Kishia nchini Iraq, Ayatullah Ali al-Sistani, imetoa tamko la kuzuia taasisi za kisiasa na za huduma kutumia picha yake katika maeneo ya wazi, hasa wakati wa hija ya Arbaeen inayokaribia.
19:09 , 2025 Aug 04
Mufti Mkuu wa India apongeza uamuzi wa mataifa kutambua Palestina

Mufti Mkuu wa India apongeza uamuzi wa mataifa kutambua Palestina

IQNA – Mufti Mkuu wa India, Sheikh Abubakr Ahmad, amepongeza uamuzi wa baadhi ya mataifa kutambua rasmi nchi huru ya Palestina.
18:50 , 2025 Aug 04
Msomi Iran asifu  msimamo wa Waislamu vita vya Israel dhidi ya Iran, atoa wito wa umoja kuelekea Arbaeen

Msomi Iran asifu msimamo wa Waislamu vita vya Israel dhidi ya Iran, atoa wito wa umoja kuelekea Arbaeen

IQNA – Mkurugenzi wa Msafara wa Hijja wa Iran ameifu mshikamano wa kimataifa uliodhihirika wakati wa vita vya siku kumi na mbili vilivyoanzishwa na utawala wa Israel dhidi ya Iran, na ametilia mkazo umuhimu wa umoja wa Waislamu kuelekea Siku ya Arbaeen ya Imam Hussein (AS).
18:44 , 2025 Aug 04
Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya Usomaji na Kuhifadhi Qur’ani Malaysia Yafunguliwa

Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya Usomaji na Kuhifadhi Qur’ani Malaysia Yafunguliwa

IQNA – Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya Usomaji na Kuhifadhi Qur’ani Tukufu (MTHQA) yamefunguliwa rasmi katika mji mkuu wa Malaysia, Kuala Lumpur, siku ya Jumamosi.
17:43 , 2025 Aug 03
Athari za Mashambulizi ya Kigaidi ya Utawala wa Kizayuni Dhidi ya Iran

Athari za Mashambulizi ya Kigaidi ya Utawala wa Kizayuni Dhidi ya Iran

IQNA – Picha zilizopigwa mwishoni mwa Julai 2025 zinaonesha athari za mashambulizi ya kigaidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya mji mkuu wa Iran, Tehran, mwezi Juni, ambapo maeneo ya makaazi ya raia yalilengwa.
07:59 , 2025 Aug 02
Mikakati yawekwa kuhudumia Wafanyaziara  wa kike katika Haram ya Najaf wakati wa Arbaeen

Mikakati yawekwa kuhudumia Wafanyaziara wa kike katika Haram ya Najaf wakati wa Arbaeen

IQNA – Idara ya Masuala ya Wanawake ya Taasisi ya Haram Tukufu ya Imam Ali (AS) imeandaa mipango kabambe ya kuwahudumia wafanyaziyara wa kike katika msimu huu wa ziara ya Arbaeen.
07:55 , 2025 Aug 02
Misikiti ya Misri yaandaa mihadhara kuhusu ‘Familia Katika Sira ya Mtume Muhammad (SAW)’

Misikiti ya Misri yaandaa mihadhara kuhusu ‘Familia Katika Sira ya Mtume Muhammad (SAW)’

IQNA –Mihadhara kuhusu “Nafasi na Umuhimu wa Familia katika Sira ya Mtume Mtukufu Muhammad (SAW)” imefanyika katika misikiti mbalimbali nchini Misri.
07:47 , 2025 Aug 02
Mahakama ya Uholanzi yasema upelelezi kuhusu Msikiti wa Veenendaal ulikiuka haki za Waislamu

Mahakama ya Uholanzi yasema upelelezi kuhusu Msikiti wa Veenendaal ulikiuka haki za Waislamu

IQNA – Mahakama moja nchini Uholanzi imebaini kuwa halmashauri ya jiji la Veenendaal ilifanya upelelezi kinyume cha sheria dhidi ya taasisi ya Kiislamu ya Taubah na msikiti wake bila ridhaa yao.
07:43 , 2025 Aug 02
Shule ya Qur'ani ya Novi Pazar: Kituo cha Kufufua Utambulisho wa Kiislamu nchini Serbia

Shule ya Qur'ani ya Novi Pazar: Kituo cha Kufufua Utambulisho wa Kiislamu nchini Serbia

IQNA – Shule ya Qur'ani ya Novi Pazar nchini Serbia ni miongoni mwa vituo muhimu zaidi vya elimu ya Qur'ani katika eneo la Balkan, ikijitahidi kufufua utambulisho wa Kiislamu miongoni mwa Waislamu wa eneo hilo na kuwafundisha Qur'ani Tukufu pamoja na tafsiri yake kwa wenye nia.
07:39 , 2025 Aug 02
Washindi wa Mashindano ya Qur’anI ya Mkoa wa Tehran waenziwa

Washindi wa Mashindano ya Qur’anI ya Mkoa wa Tehran waenziwa

IQNA – Washindi wa upande wa wanaume katika awamu ya kimkoa ya Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu nchini Iran, yaliyofanyika Tehran, wametangazwa rasmi katika hafla ya kufunga mashindano hayo na kukabidhiwa vyeti vya heshima pamoja na zawadi za fedha.
14:45 , 2025 Aug 01
Qatar yazindua programu ya ya Maendeleo ya Vijana Kupitia Qur’ani

Qatar yazindua programu ya ya Maendeleo ya Vijana Kupitia Qur’ani

IQNA – Wizara ya Awqaf na Masuala ya Kiislamu nchini Qatar inaendesha darasa maalum la kiangazi la Qur’ani Tukufu kwa lengo la kuimarisha uwezo wa kuhifadhi na kusoma Qur’ani miongoni mwa wanafunzi.
14:41 , 2025 Aug 01
Jumuiya ya Kiislamu yapongeza uamuzi wa Kanada kutambua Taifa la Palestina

Jumuiya ya Kiislamu yapongeza uamuzi wa Kanada kutambua Taifa la Palestina

IQNA – Baraza Kuu la Waislamu wa Kanada (NCCM) limekaribisha kwa mikono miwili uamuzi wa serikali ya Ottawa wa kulitambua rasmi Taifa la Palestina mwezi Septemba, likiitaja hatua hiyo kuwa ya kihistoria na muhimu katika safari ya haki.
14:35 , 2025 Aug 01
Tarjuma ya Qur’an kwa Kiyoruba na Kiingereza Yazinduliwa Nigeria

Tarjuma ya Qur’an kwa Kiyoruba na Kiingereza Yazinduliwa Nigeria

IQNA – Mwanazuoni mmoja wa Kiislamu kutoka Nigeria amezindua mradi wa kipekee wa tarjuma ya Qur’ani Tukufu kwa lengo la kuwafikishia ujumbe wa Allah kwa jamii zinazozungumza Kiyoruba duniani kote.
14:30 , 2025 Aug 01
Ahukumiwa mwaka mmoja jela kwa kuvunjia heshima nakala ya Qur'ani nchini Ufaransa

Ahukumiwa mwaka mmoja jela kwa kuvunjia heshima nakala ya Qur'ani nchini Ufaransa

IQNA – Mwanaume mwenye umri wa miaka 27 nchini Ufaransa amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja gerezani kwa kitendo cha kuvunjia heshima Qur'ani, Kitabu Kitakatifu cha Uislamu.
14:25 , 2025 Aug 01
1