IQNA – Kikao cha usomaji wa Qurani kimefanyika katika Msikiti wa Hazrat Abulfadh (AS) mjini Ahvaz, kusini magharibi mwa Iran, tarehe 19 Januari 2026, kwa mnasaba wa Eid al-Mab’ath, siku ya kukumbuka kutumwa kwa Muhammad (SAW) kuwa Mtume wa mwisho wa Mwenyezi Mungu.