iqna

IQNA

morocco
Uislamu nchini Morocco
TEHRAN (IQNA) – Mpango wa usaidizi unaolenga kuboresha hali ya kijamii na kiuchumi ya maimamu wanaosalisha misikitini kote nchini Morocco utatekelezwa nchini humo.
Habari ID: 3475416    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/23

Mapambano dhidi ya Israel
TEHRAN (IQNA)- Waandishi wa habari wa Morocco wamepinga kufunguliwa nchini humo ofisi za televisheni ya utawala haramu wa Israel ya i24 na wametaka zifungwa mara moja.
Habari ID: 3475374    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/14

Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA) –Sawa na idadi kubwa ya Waislamu katika nchi nyingine, raia wengi wa Morocco wanalazimika kufuta safari yao ya Hijja mwaka huu kutokana na gharama kubwa.
Habari ID: 3475373    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/13

TEHRAN (IQNA)- Harakati za Palestina za Hamas na Jihad ya Kiislamu zimelaani mkutano waliofanya mawaziri wa mambo ya nje wa nchi nne za Kiarabu na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika eneo linalokaliwa kwa mabavu la Naqab.
Habari ID: 3475084    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/28

TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Morocco imetangaza hatua za kuhakikisha kutovurugwa usambazaji wa maji wa chakula na bidhaa za kimsingi ili kukidhi mahitaji ya raia katika mwezi mtukufu ujao wa Ramadhani.
Habari ID: 3475010    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/05

TEHRAN (IQNA)- Mtaalamu wa masuala ya Qur'ani kutoka Morocco amepongeza utaratibu bora katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Iran mwaka huu.
Habari ID: 3475007    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/05

TEHRAN (IQNA)- Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria amesema utawala wa Kizayuni wa Israel ndio chanzo cha kuvurugika uhusiano wa nchi yake na Morocco.
Habari ID: 3474939    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/17

TEHRAN (IQNA)- Wananchi wa Morocco wameandamana katika miji mbalimbali ya nchi hiyo na kutangaza tena kupinga nchi yao kuwa na uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel unaotenda jinai kila leo dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina.
Habari ID: 3474716    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/24

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Wanazuoni wa Kiislamu (IUMS) amelaani hatua ya baadhi ya nchi za Kiarabu ya kuanzisha uhusiano na muungano na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel na kusaini mikataba ya mapatano na utawala huo ghasibu.
Habari ID: 3474612    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/28

TEHRAN (IQNA)- Maelfu ya wananchi wa Jordan wameandamana wakilalamikia mpango wa serikali ya nchi hiyo kutiai saini mapatano mapya na utawala haramu wa Israel unaotenda jinai kila uchao dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina.
Habari ID: 3474606    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/27

TEHRAN (IQNA)- Chama katika muungano tawala nchini Morocco kimepata pigo kubwa katika uchaguzi wa Bunge, kulingana na matokeo ya muda yaliyotangazwa na Waziri wa Mambo ya Ndani wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afriika.
Habari ID: 3474275    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/09

TEHRAN (INQA)- Algeria inasema misitu nchini humo imeteketezwa moto hivi karibuni na makundi mawili ambavyo ni ya "kigaidi", na moja ya kati ya makundi hayo linaungwa mkono na Morocco na utawala wa Kizayuni Israel.
Habari ID: 3474208    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/20

TEHRAN (IQNA)- Katika safari yake ya kwanza nchini Morocco tangu nchi hiyo ya Kiafrika ianzishe uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa utawala huo ghasibu amefungua rasmi ofisi za ubalozi wa utawala huo mjini Rabat.
Habari ID: 3474185    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/13

TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Harakati ya Jihad al Islami ya Palestina amelaani vikali safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa utawala haramu wa Israel nchini Morocco na kubainisha kuwa, ziara hiyo haikubaliki.
Habari ID: 3474182    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/12

TEHRAN (IQNA)-Vijana ambao waliwakilisha Ghana katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani yaliyoandaliwa Morocco na Taasisi ya Mfalme Mohammad VI ya Maulamaa Waafrika wametunukiwa zawadi.
Habari ID: 3473997    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/11

TEHRAN (IQNA)- Maelfu ya watu wa Morocco wameanzisha kampeni katika mitandao ya kijamii kwa lengo la kulaani jinai za kinyama za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Ghaza huku wakitaka nchi yao ikato uhusino na utawala huo bandia.
Habari ID: 3473982    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/06

TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Morocco imetangaza kuwa itatekeleza sheria ya kutotoka nje usiku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka huu nchini humo.
Habari ID: 3473797    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/09

Jumuiya ya Maulama wa Kiislamu Duniani
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa Waislamu (IAMS) amesema kuwa, viongozi wanaotaka mapatano wameanzisha uhusiano wa kawaida na Israel kwa sababu ya woga, tamaa na kwa ajili ya kulinda maslahi yao pamoja na tawala zao, hatua ambayo ni haramu na batili.
Habari ID: 3473502    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/28

Harakati ya Kiislamu ya Amal ya Jordan
TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Kiislamu ya Amal ya Jordan imetoa taarifa na kusema hatua ya Morocco kuafiki kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel ni kashfa kubwa na pia ni uhaini wa kihistoria.
Habari ID: 3473491    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/25

TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kitendo cha baadhi ya nchi za Kiarabu cha kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel ni kuwasaliti wananchi wa Palestina na umma wa Kiislamu kwa ujumla.
Habari ID: 3473488    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/24