iqna

IQNA

wales
Waislamu Uingereza
LONDON (IQNA) - Jumuiya ya Waislamu wa Uingereza (MAB) ilitoa wito kwa misikiti ya Uingereza na vituo vya Kiislamu kususia Chama cha Leba baada ya kiongozi wake, Keir Starmer, kulaumiwa kwa kutoa matamshi ya kupotosha kuhusu ziara ya hivi majuzi katika msikiti huko Wales.
Habari ID: 3477792    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/26

Kombe la Dunia Qatar
TEHRAN (IQNA)- Emir of Qatar Sheikh Tamim bin Hamad al-Thani ameonekana akifurahia ushindi wa Timu ya Taifa ya Soka ya Iran wakati ilipoichapa Wales mabao 2 kwa 0 katika fainali za mashindano ya soka ya Kombe la Dunia yanayoendelea nchini Qatar.
Habari ID: 3476148    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/25

TEHRAN (IQNA)- Kituo cha zamani cha polisi katika mji wa Cardiff eneo la Wales nchini Uingereza kitabadilishwa kuwa msikiti.
Habari ID: 3474840    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/23