iqna

IQNA

muujiza
Sura za Qur'ani Tukufu /54
TEHRAN (IQNA) – Wanasayansi hawajapata sababu ya mpasuko unaoonekana katika mwezi lakini baadhi yao wanasema mpasuko huo ulijiri mamia ya miaka iliyopita.
Habari ID: 3476368    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/07

Ukweli katika Qur'ani Tukufu / 9
TEHRAN (IQNA) – Hussein Fadhil al-Hulw, mwanazuoni wa Kiarabu, katika makala ameorodhesha maudhui ya baadhi ya aya za Quran kuhusu ukuaji wa mimea yamethibitishwa na sayansi ya kisasa.
Habari ID: 3476226    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/10

TEHRAN (IQNA)- Mwanazuoni mwandamizi nchini Iran amesema Qur'ani Tukufu ni muujiza wa kudumu.
Habari ID: 3474740    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/29

Mtangazaji wa kanali ya televisheni ya CBC ya Misri ametoa matamshi machafu na ya dharau akidai kuwa ni upuuzi kufundisha muujiza wa Qur'ani na Suna za Mtume katika shule za nchi hiyo.
Habari ID: 1448156    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/08