Harakati za Qur'ani
IQNA - Vituo kadhaa vya Qur'ani vimejengwa kwenye njia ya mamilioni ya wafanyaziara wanaotaka kuadhimisha kumbukumbu ya kuuawa shahidi Imam Musa Kadhim (AS) nchini Iraq.
Habari ID: 3478290 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/02
QOM (IQNA) - Haram Takatifu (kaburi) ya Bibi Maasuma (SA) huko Qom, Iran imepambwa kwa maelfu ya maua siku ya Ijumaa kuadhimisha sherehe za Karamat.
Habari ID: 3477020 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/20
TEHRAN (IQNA)- Siku kama ya leo miaka 1314 iliyopita alizaliwa Imam Musa al Kadhim ambaye ni mmoja kati ya wajukuu watukufu wa Bwana wetu Muhammad SAW
Habari ID: 3474146 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/31