iqna

IQNA

mpalestina
Mwanamke wa Kipalestina aliyejeruhiwa ameokolewa kutokana na vifusi vya mashambulizi ya anga yaliyofanywa na Israeli kwenye nyumba za Khan Yunis kusini mwa Ukanda wa Gaza unaokaliwa kwa Mabavu akiwa ameshikilia Qur’ani Tukufu mikononi mwake na kuishikiria kwa nguvu bila kuiachia
Habari ID: 3477766    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/21

TEHRAN (IQNA)- Vikosi vya kijeshi vya utawala ghasibu wa Israel vimempiga risasi na kumuua shahidi kijana mwingine wa Kipalestina katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3475735    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/05

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imesiistiza ulazima wa kuuwajibisha utawala haramu wa Israeli kwa uhalifu wake dhidi ya Wapalestina.
Habari ID: 3474141    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/30