Waziri wa Usalama wa Iran amesema kuwa vijana wana nafasi muhimu katika mwamko wa Kiislamu ambao umekita mizizi katika nchi za Kiislamu.
2011 Jul 04 , 17:31
Karii Mpalestina anayeshiriki katika Mashindano ya 28 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran amesema kuwa Qur'ani Tukufu ni katiba ya umma wa Kiislamu kote duniani na amewataka Waislamu wajitahidi kukifahamu kitabu hicho cha Mwenyezi Mungu na kutekeleza maamrisho yake.
2011 Jul 04 , 17:23
Semina ya Kuelewa Qur'ani Tukufu itafanyika tarehe 15 hadi 17 Julai katika Kituo cha Kiislamu mjini New York Marekani.
2011 Jul 04 , 10:28
Ninatarajia kuona siku ambayo vijana wote wa Kiislamu watahifadhi Qur'ani Tukufu, kwani kuhifadhi kitabu hicho ha Mwenyezi Mungu na kuelewa maana ya aya zake kunawarekebisha vijana na kuwalinda mbele ya opotofu wa kifikra, kimaadili na kijamii.
2011 Jul 04 , 10:28
Hafidh wa Qur’ani Tukufu kutoka Ghana amesema mashindano ya kimataifa ya Qur’ani ya Iran yana nafasi muhimu katika kuimarisha Umoja wa Kiislamu.
2011 Jul 04 , 08:22
Mkuu wa masuala ya utamaduni katika Shirika la Awqaf la Iran amesema kuhimiza mwenendo wa kutafakari aya za Qur’ani ni moja ya malengo ya mashindano ya kimataifa ya Qur’ani ya Tehran.
2011 Jul 04 , 08:19
Pembizoni mwa Mashindano ya 28 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Iran wanawake 28 wanaharakati wa Qur’ani wameenziwa Julai pili katika sherehe iliyoandaliwa na Shirika la Awqaf la Iran.
2011 Jul 04 , 08:14
Mpango maalumu kuhusu kuhifadhi Qur’ani Tukufu utaanzishwa katika vyuo vikuu vya sayansi za Qur’ani kote nchini Iran.
2011 Jul 04 , 08:08
Warsha ya mafunzo ya "Kuelekea kwenye Qur'ani Tukufu: Kiraa Hadi kwenye Taqwa" itafanyika Cape Town nchini Afrika Kusini katika kipindi cha kukaribia mwezi mtukufu wa Ramadhani.
2011 Jul 03 , 20:36
Chapa mpya ya msahafu wa kitaifa wa Qatar ambao umefanyiwa mabadiliko katika kusarasa zake imezinduliwa mjini Doha kwa hima ya Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu ya nchi hiyo.
2011 Jul 03 , 18:54
Wawakilishi wa nchi 50 na Waislamu wanaoishi katika nchi zisizokuwa za Kiislamu duniani wametangaza kuwa wako tayari kushiriki katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani zawadi ya Dubai.
2011 Jul 03 , 18:30
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kila mwaka inaonyesha tukio muhimu la kiutamaduni na Kiislamu katika eneo la Mashariki ya Kati kwa kuitisha mashindano ya kimataifa ya Qur'ani na mashindano hayo huwa ni medani ya kuthibitisha nafasi ya juu ya Iran katika hifdhi na kiraa ya Qur'ani Tukufu.
2011 Jul 03 , 17:44
Sambamba na Mashindano ya 28 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu nchini Iran, kongamano la pili la kuwaenzi wanawake wanaharakati katika uga wa Qur’ani linafanyika Julai pili.
2011 Jul 02 , 17:23