IQNA

Makala

Muhtasari wa tukio muhimu la Ghadir katika Uislamu

Leo Ijumaa mwaka 1444 Hijria Qamaria sawa na 7 Julai 2023 inasadifiana na siku kuu ya Ghadir Khum ambayo ni idi kubwa ya Waislamu.
Will Smith asema kisa cha Musa katika Qur'ani kilimvutia sana
IQNA - Mchezaji nyota wa Hollywood, Will Smith amesema amavutiwa sana na Qur'ani Tukufu, na kuongeza kuwa kisa cha Nabii Musa (AS) katika Qur'ani kilikuwa na athari ya kusisimua kwake.
2024 Mar 19 , 15:14
Mabishano; Njia inayopelekea kupoteza ukweli
TEHRAN (IQNA) – Uislamu unapinga vikali mabishano na majibizano kwa sababu aghalabu ya wanaojihusisha nayo hujichafua kwa chuki na upendeleo, na hulenga kupata ushindi bila kuwa na nia ya kubainisha ukweli.
2023 Jul 05 , 17:15
Kulinganisha nuru na giza ili kuangazia ukweli
Mbinu ya Elimu ya Manabii; Ibrahim / 11
TEHRAN (IQNA) – Kuanzia siku mtu anazaliwa, anaanza kufanya mambo na mwenzake, ili kujua ni kitu gani cha kuchezea, ni vazi gani, lipi … ni bora zaidi.
2023 Jul 04 , 21:28
Kupunguza mivutano kwa hulka njema
Maadili katika Qur'ani / 9
TEHRAN (IQNA) – Tangu Adam (AS) alipokuja duniani hadi Siku ya Kiyama, matatizo mengi yanayowakabili wanadamu yanaweza kutatuliwa ikiwa tutafaulu kuwa na hulka njema.
2023 Jul 03 , 17:20
Mizani ya kutathmini wanadamu
Mbinu ya Elimu ya Manabii; Ibrahim / 10
TEHRAN (IQNA) – Katika kuchunguza vitabu vilivyoandikwa kuhusu mbinu na kanuni za elimu, tunakumbana na kiasi kikubwa cha mbinu za elimu na katika mbinu zote hizo, majaribio na mitihani ni njia muhimu kwa elimu.
2023 Jul 02 , 10:51
Roboti ya kusafisha  Msikiti yaundwa Uturuki
TEHRAN (IQNA) – Kutokana na Waislamu kuswali mara tano kwa siku katika sala za jamaa misikitini, suala la usafi na unadhifu ni muhimu sana na limetiliwa mkazo katika mfundisho ya Kiislamu.
2018 May 30 , 16:03
Waislamu Korea Kusini warahisishiwa njia ya kupata chakula Halali
TEHRAN (IQNA)-Waislamu nchini Korea Kusini sasa wamerahisishiwa njia za kupata chakula halali kupitia aplikesheni ya simu za mkononi ijulikanyao kama Crave Halal ambayo pia ina tovuti ya intaneti.
2018 Jan 18 , 12:00
Polisi Uganda wapata mafunzo kuhusu sheria za Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Polisi nchini Uganda wamepata mafunzo kuhusu sheria za familia na watoto katika dini tukufu ya Kiislamu.
2017 Nov 19 , 22:07
Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran yafunguliwa Tehran
TEHRAN (IQNA)-Maonyesho ya 25 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran yameanza leo Alasiri katika Ukumbi wa Sala wa Imam Khomeini SA mjini Tehran.
2017 May 29 , 11:07
Ghadir, nuru katika kitovu cha historia ya Uislamu
Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujaalia kuwa miongoni mwa wenye kushikamana na Wilaya ya Ali bin Abi Talib na kizazi chake kitoharifu na maasumu; na mpaka pale roho zetu zitakapokuwamo viwiliwilini mwetu.
2016 Sep 19 , 15:17
Barabara yenye jina la kinara wa ISIS mjini Riyadh, Saudia
Wananchi wa Saudi Arabia wameutaka ukoo tawala wa Aal-Saud kubadilisha jina la barabara moja mjini Riyadh iliyopachikwa jina la kinara wa kundi la kigaidi na kitakfiri la ISIS au Daesh, Abu Bakr al-Baghdadi.
2016 Feb 03 , 15:28
Kenya kujiunga na OIC na kuanzisha mfumo wa fedha wa Kiislamu
Kenya imeazimia kujiunga na Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC sambamba na kuanzisha mfumo wa kifedha wa Kiislamu katika nchi hiyo.
2016 Jan 30 , 12:14